Sonya Belousova

Belousova akitumbuiza vipande vya piano na mshindi wa Tuzo ya Grammy Jorge Calandrelli kwenye Tuzo za Alama za Dhahabu za 2014
Belousova akitumbuiza vipande vya piano na mshindi wa Tuzo ya Grammy Jorge Calandrelli kwenye Tuzo za Alama za Dhahabu za 2014

Sonya Belousova ( 4 Februari, 1990) Mtunzi wa filamu, mpiga kinanda na msanii mwenye asili ya Urusi ambaye anaishi katika mji wa Los Angeles, California nchini Marekani. Belousova ni mshindi wa kimataifa wa utungaji katika mashindano ya piano.[1] Alitambuliwa kama prodigy akiwa mtoto, akiwa na umri wa miaka 13. Belousova alipata tuzo ya utungaji bora wa muziki.[2][3]

  1. "Sonya Belousova — Official website". SonyaBelousova.com. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-08-10. Iliwekwa mnamo 2015-10-15. {{cite web}}: More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)
  2. "Достижения". Санкт-Петербургская детская музыкальная школа № 11 (kwa Kirusi). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-01-05. Iliwekwa mnamo 2015-10-14. {{cite web}}: More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help)
  3. "YouTube's Player Piano Turns Gaming Tunes Into Fantasy Videos". Classical 101. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-01-05. Iliwekwa mnamo 2015-10-15. {{cite web}}: More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy